Raha
SW

كلمات Raha

النوعPop
اللغة الأصليةSW
المشاهدات9
Aaإعدادات القراءة
حجم النص 18

الكلمات الأصلية

SW
الترجمة غير متاحة بعد. نعرض الكلمات الأصلية.
Aah mmmh mmmh Ah unaringa umepima? Aii utajiju Huu mwaka utachina Si ulileta unyang'au Ukaukwi kunitishia Unaondoka unaondoka Kama daladala za Kariakoo Inatoka inatoka Hadharani unanisusia Kuropoka ropoka Ama domo lako shimo la choo Yanakutoka Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka Maana nishapata pa kuegemea Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea Ooh kutendwa Nakusikia kwenye bomba Na tena naenjoy Mpa ka raha mpaka natakatishwa Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy Napenda akinipa Akinipa migandisho Kama anapigwa shoti Akisakata migandisho Na kama mapenzi Roho yake bahari Huu muda naelea Maana nishazamaga Nishakufa mzoga Na kama penzi melody kali Mi kwake ndo burudani Wala sidhani ka Ataridhika kunikosa Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka Maana nishapata pa kuegemea Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea Ooh kutendwa Nakusikia kwenye bomba Na tena naenjoy Mpa ka raha mpaka natakatishwa Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy

المزيد من Marioo

Marioo →

كلمات ذات صلة