Limevuja
SW

كلمات Limevuja

النوعPop
اللغة الأصليةSW
المشاهدات40
Aaإعدادات القراءة
حجم النص 18

الكلمات الأصلية

SW
الترجمة غير متاحة بعد. نعرض الكلمات الأصلية.
Oooh, oooh maya aah (Nusder) Si umesema mi baniani mbaya Na uwepo wangu kwako sio dawa, haya aah Penzi nikashona tenzi na riwaya Kwenye moyo wako livae liwe sawa, limepwaya Napuliza majivu maana moto siuoni Kooni maumivu vumbi larudi machoni Ahadi za mbivu zimebaki ndotoni Lile penzi tulivu leo lipo kikaangoni Imeniponza huruma kirungi Kujitisha kumsaidia Kumbe katoboa mtungi Maji yananimwagikia Penzi limevuja tena Penzi limevuja tena Penzi limevuja tena Penzi limevuja tena aah Ulisema sikiwambaza Penzi letu ukuta wa chuma Nikitoka kiwalaza Utanistiri nywele za nyuma Mara kwa mara ulilia Kifuani umenilalia Ukijuta unayachukia Yale ulopitia Eti kama mimi hujaona Wa kufanana naye Asa mbona hukusema Kama ushakutana naye Napuliza majivu maana moto siuoni Kooni maumivu vumbi larudi machoni Ahadi za mbivu zimebaki ndotoni Lile penzi tulivu leo lipo kikaangoni Imeniponza huruma kirungi Kujitisha kumsaidia Kumbe katoboa mtungi Maji yananimwagikia Penzi limevuja tena Penzi limevuja tena Penzi limevuja tena Penzi limevuja tena aah

المزيد من Mbosso

Mbosso →

كلمات ذات صلة