Hayaa
SW

كلمات Hayaa

النوعAfrobeats
اللغة الأصليةSW
المشاهدات14
Aaإعدادات القراءة
حجم النص 18

الكلمات الأصلية

SW
الترجمة غير متاحة بعد. نعرض الكلمات الأصلية.
Uuuhh The melanin queen, yeah Si tulipanda miti Kivuli tayari Sah, tuketi Jua lisituchome Siwezi kusaliti Kukuacha uende mbali Sitetereki Shetani anikome Nakupenda wewe tu mahabuba (mahabuba) Tugandane gandane kama ruba (kama ruba) Tulilinde zaidi letu huba (letu huba) Twafurahi japo hatuna fuba (hatuna fuba) Oh haya haya hayaaaa (haya, haya) Haya weh (hayaaa) Haya haya (haya, haya) Hayaaa Nishike kidogo (Haya haya) aah kidogo (Hayaa) Haya haya (Haya, haya) Hayaaaa Huba lake ni tamu Walah sijawahi ona before Ai before… (Kama yeye) Nikishikwa na hamuu Sipati shida ya kumwita njoo Simwiti ng’oo (aja mwenyewe) Nampa uroda Mpaka maji anaita m’ma (m’ma) Tam tam kama soda Kimeumana chuma kwa chuma (chuma) Akianza kwa shoulder Anafuata mbele na nyuma (nyuma) (Ah) hajaniroga Kamali ameshani puna Nakupenda wewe tu mahabuba (mahabuba) Tugandane gandane kama ruba (kama ruba) Tulilinde zaidi letu huba (letu huba) Twafurahi japo hatuna fuba (hatuna fuba) Oh haya haya hayaaaa (haya, haya) Haya weh (hayaaa) Haya haya (haya, haya) Hayaaa Nishike kidogo (Haya haya) aah kidogo (Hayaa) Haya haya (Haya, haya) Hayaaaa

المزيد من Phina

Phina →

كلمات ذات صلة