Hawajui
SW

كلمات Hawajui

النوعPop
اللغة الأصليةSW
المشاهدات4
Aaإعدادات القراءة
حجم النص 18

الكلمات الأصلية

SW
الترجمة غير متاحة بعد. نعرض الكلمات الأصلية.
Nahreel wussup wussup wussup wussup Hamjui tu nyie Alichonifunza mama Na, na ndiyo maana Hamuishi kutukana Kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga Nini tilalila usiku mchana unabwabwaja Kwako mi mpira unanicheza unavyotaka Kila siku beki leo kipa nimekudaka We mwanadamu gani uliyekosa aibu Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu Huishi, zogoa zogoa Kila siku zogoa zogoa Ukilala zogoa zogoa Hamjui tu nyie Alichonifunza mama Na, na ndiyo maana Hamuishi kutukana Choko choko ndiyo mambo mliozoea Kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah, ah Eti naringa, nikishinda mnavimba Hamuishi kuniwinda Mungu ndiyo ananilinda We mwanadamu gani uliyekosa aibu Kunisema kwa ubaya Na ukiapa kwa Mungu Huishi, zogoa zogoa Kila siku zogoa zogoa Ukilala zogoa zogoa Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na, na ndiyo maana Hamuishi kutukana We mwanadamu gani uliyekosa aibu Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu Huishi, zogoa zogoa Kila siku zogoa zogoa Ukilala zogoa zogoa Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na, na ndiyo maana Hamuishi kutukana

المزيد من Vanessa Mdee

Vanessa Mdee →

كلمات ذات صلة