Hapana
SW

Songtext von Hapana

GenrePop
OriginalspracheSW
Aufrufe5
AaLeseeinstellungen
Textgröße 18

Originaltext

SW
Noch keine Übersetzung verfügbar. Der Originaltext wird angezeigt.
Hata waseme nini sikuachi Ndio kwanza umepanda na chati Umenidhibiti umeshika na shati Umeshinda umevunja kamati Mwenzio umejitoa mhanga Kwenye huba lako Nichape nipeleke utakavyo Mimi punda wako Sitoshika simu yako Ila shika yangu nimekubali Hao hao wafiki zako Wanokusema mimi sikubali Eti wanasema Mara unagawa kwa vipande Oh unakwenda kwa mpalange Eti sikwezi nikajipange Mara nikuache ukadange Baby mi hapana, kukuacha hapana Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana Baby mi hapana, kukuacha hapana Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana Hushangai nishakufumania Ila bado nimeng'ang'ania Penzi lako limenizidia Na mwaka huu watanizika Na si walisema kwamba hubebeki Leo nakubeba yaani kudadeki Mmh afe kipa au afe beki Nishakuwa wako liwalo liwe Sitoshika simu yako Ila shika yangu nimekubali Hao hao wafiki zako Wanokusema mimi sikubali Eti wanasema Mara unagawa kwa vipande Oh unakwenda kwa mpalange Eti sikwezi nikajipange Mara nikuache ukadange Baby mi hapana, kukuacha hapana Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana Baby mi hapana, kukuacha hapana Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana

Mehr von Kusah

Kusah →

Ähnliche Songtexte