Sitaki Tena
SW

Songtext von Sitaki Tena

GenreAfrobeats
OriginalspracheSW
Aufrufe8
AaLeseeinstellungen
Textgröße 18

Originaltext

SW
Noch keine Übersetzung verfügbar. Der Originaltext wird angezeigt.
Nitachowaambia msiache kumwambia na yeye Simchukii na, na najipa mweyewe oh, no oh, baby sijutiii kuwa mbali naye apunguze presha Mwambieni sililii, penzi lake nilishalihimisha Hazijabaki memory wala kumbukumbu Nilishamsahau mazima Hata nikimwona namwona ka nungu nungu Sio kama namvunjia heshima Makombe amalize ajifushe na nyungu Akakoge na maji ya kisima Ila mimi nilisha apa kwa mwenyezi Mungu Haitojirudia daima Sitaki tena, tena mwambieni asinisumbue mimi Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu Sitaki tena, abaki na zake nibaki na zangu Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu Dua zake mbaya kwangu nifeli nilipo sasa anajua Najua likiwa ka kiza kikitanda ananiwaza ananijua Mwambieni asihangaike na mipasho moyo wake mimi naujua Sitaki kumdhalilisha nikataja na siri zake nikaamuumbua Hazijabaki memory wala kumbukumbu Nilishamsahau mazima Hata nikimwona namwona ka nungu nungu Sio kama namvunjia heshima Makombe amalize ajifushe na nyungu Akakoge na maji ya kisima Ila mimi nilisha apa kwa mwenyezi Mungu Haitojirudia daima Sitaki tena, tena mwambieni asinisumbue mimi Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu Sitaki tena, abaki na zake nibaki na zangu Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu Mwambieni sijutiii kuwa mbali naye apunguze presha Mwambieni sililii, penzi lake nilishalihimisha

Mehr von Phina

Phina →

Ähnliche Songtexte