Chekecha
SW

Letra de Chekecha

GéneroAfrobeats
Idioma originalSW
Vistas4
AaLectura
Tamaño 18

Letra original

SW
La traducción todavía no está disponible. Mostramos la letra original.
Aah ongeza sauti ya fundi Ya fundi Ongeza sauti ya fundi Sexy Diva Mchuchu mchumba Hajapenda sebule na chumba Mtutu si uvumba Nampenda na bure na dunda Anafikisha meli na inashuka Bandari ooh, bandari ooh Hiki kinesi kimedunda dunda Shangari ooh, shangari ooh Nakufaga nusu kabuti Bendera hufuata upepo Nashukaga ka parachuti Afande nikitoka depo Anamwaga na kumimina, anachekecha Ka mzizi shina, anapekecha Mkate wa kumimina, anachekecha Kama maji kwenye kisima, anachekecha Yaani moja wima, anapekecha Mzima mzima, anachekecha Yaani kanipa uji Na sio mchina Anachekecha, anachekecha Na mi namcheketua Anachekecha (mama) Kipa na matede Anachekecha, anachekecha Na mi namcheketua Anachekecha (ooh) Yaani kanipa uji Na mapeni nishavuja wino Siandiki tena na Uchafu katupa kwa shimo Na mate katema ma Akipanda akidandia Sijisomi Akivuna napalilia Mwandani Anavyonidekeza toto Namliwaza dodo Anavyonipendeza koko Aii weee Anamwaga na kumimina, anachekecha Ka mzizi shina, anapekecha Mkate wa kumimina, anachekecha Kama maji kwenye kisima, anachekecha Yaani moja wima, anapekecha Mzima mzima, anachekecha Yaani kanipa uji Na sio mchina Anachekecha, anachekecha Na mi namcheketua Anachekecha (mama) Kipa na matede Anachekecha, anachekecha Na mi namcheketua Anachekecha (ooh) Yaani kanipa uji Na sio mchina Anachekecha, anachekecha Na mi namcheketua Anachekecha (mama)

Más de Lulu Diva

Lulu Diva →

Letras relacionadas