Raha
SW

Letra de Raha

GéneroPop
Idioma originalSW
Vistas7
AaLectura
Tamaño 18

Letra original

SW
La traducción todavía no está disponible. Mostramos la letra original.
Aah, aah, aah, aah Aki baby naona mi na wewe kama Adamu na Hawa, ivi tuko sawa sawa Utaniua, ntakwama, mi mwengine sina Kwani unafanyaga vipi ivyo, mbona raha sana Oooh baby ongeza Ongeza maujuzi Nikupeleke kwa Mkweo we wa wapi wewe? Zanzibar au Tanga Unanikolezaa baba kazi ipo Mbona kazi wanayo We ni fundi wewe ukinivunja utanjenga Yani naona raha Naona raha, naona, naona raha Naona raha, naona raha Naona raha Una nipenda mpaka naogopa Naona raha, naona, naona raha Naona raha, naona raha Naona raha Yani naona rahaa Ogopa matapeli Penzi letu tayari linahati miliki Apa mwisho wa reli Nimeshapatikana sitikisiki Wanafki washa feri Watarusha madongo, wala hayatufiki Mi na we ndo movie Waje watizame wawe mashabiki Usije ponzwa na ujana Babe bado mapema Ng’ang’ana na mimi, darling Na moyo umetulizana We changu, chanda chema Nyundo na msumali Ooh baby ongeza Ongeza maujuzi Nikupeleke kwa Mkweo we wa wapi wewe? Zanzibar au Tanga Unanikolezaa baba kazi ipo Mbona kazi wanayo We ni fundi wewe ukinivunja utanjenga Yani naona raha Naona raha, naona, naona raha Naona raha, naona raha Naona raha Una nipenda mpaka naogopa Naona raha, naona, naona raha Naona raha, naona raha Naona raha Yani naona rahaa

Más de Yammi

Yammi →

Letras relacionadas