Hapana
SW

Paroles de Hapana

GenrePop
Langue originaleSW
Vues5
AaLecture
Taille 18

Paroles originales

SW
Traduction indisponible. Les paroles originales sont affichées.
Hata waseme nini sikuachi Ndio kwanza umepanda na chati Umenidhibiti umeshika na shati Umeshinda umevunja kamati Mwenzio umejitoa mhanga Kwenye huba lako Nichape nipeleke utakavyo Mimi punda wako Sitoshika simu yako Ila shika yangu nimekubali Hao hao wafiki zako Wanokusema mimi sikubali Eti wanasema Mara unagawa kwa vipande Oh unakwenda kwa mpalange Eti sikwezi nikajipange Mara nikuache ukadange Baby mi hapana, kukuacha hapana Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana Baby mi hapana, kukuacha hapana Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana Hushangai nishakufumania Ila bado nimeng'ang'ania Penzi lako limenizidia Na mwaka huu watanizika Na si walisema kwamba hubebeki Leo nakubeba yaani kudadeki Mmh afe kipa au afe beki Nishakuwa wako liwalo liwe Sitoshika simu yako Ila shika yangu nimekubali Hao hao wafiki zako Wanokusema mimi sikubali Eti wanasema Mara unagawa kwa vipande Oh unakwenda kwa mpalange Eti sikwezi nikajipange Mara nikuache ukadange Baby mi hapana, kukuacha hapana Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana Baby mi hapana, kukuacha hapana Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana

Plus de Kusah

Kusah →

Paroles similaires