Vilevile
SW

Vilevile lyrics

GenreGospel / Religious
Original languageSW
Views3
AaReading settings
Text size 18

Original lyrics

SW
Translation not available yet. Showing the original lyrics.
Kabla sijakupata Niiupa imani moyo utulie Sa niko hapa Ni kwa nguvu zako tu Niliteseka sana Baba ukaniona Fedheha ukaondoa Maombi ukayajibu Umetenda kwa ukuu Bwana (umetenda) Na ukweli sikutegemea (sikutegemea) Umetenda kwa ukuu Bwana (umetenda) Na ukweli sikutegemea (sikutegemea) Sikubaki vile vile, vile vile Vile vile, vile vile Nilipokuomba ulinijibu, ukajibu maombi yangu Maombi yangu uliyajibu, ukajibu maombi yangu Sikubaki vile vile, vile vile Vile vile, vile vile Nilipokuomba ulinijibu, ukajibu maombi yangu Maombi yangu uliyajibu, ukajibu maombi yangu Uliniambia tulia son nina plans nawe Sa hiyo nachomeka kwa sun sikuchoka nawe Walikuwa wananicheka sana, maisha inakosa maana I can remember we ndo ulipewa na Waisraeli maana Najivunia kuwa nawe Bwana Nilipata ushuhuda nina mwana Umejibu maombi yangu sikubaki vile yeah... Mungu wa ajabu (ajabu) Mungu wa milele (milele) Sikubaki vile vile, vile vile Vile vile, vile vile Nilipokuomba ulinijibu, ukajibu maombi yangu Maombi yangu uliyajibu, ukajibu maombi yangu Sikubaki vile vile, vile vile Vile vile, vile vile Nilipokuomba ulinijibu, ukajibu maombi yangu Maombi yangu uliyajibu, ukajibu maombi yangu

Related lyrics