My Queen
SW

My Queen 歌詞

ジャンルAfrobeats
原文言語SW
閲覧数16
Aa表示設定
文字サイズ 18

原文歌詞

SW
翻訳はまだありません。原文を表示しています。
You are my queen Nimekupa moyo wangu uutunze Safari Ukiniacha sina raha hata punje Maana, midunia inachanganya changanya Hususan mapenzi mama Mambo ya kushare hayana maana Mama mama Mara ushikwe kule, uteseke Mara ushikwe pale, unyanyaswe Unavyochezaga mama ma Raha napataga kwa sana na Unavyokataga mama Utamu nasikiaga kwa sana Unavyochezaga mama Kigoma, Mtwara ulindi Mtwara tukamwone bibi Tukale futari ama gimbi Ushanidindindi kwako zaidi ya pimbi You please don't go hey Unanipa raha anytime You please don't go hey Unanipa raha you are mine Sio wachalizo wa Tabata Unanipa ile kitu nataka Mtoto hizo lips matata Ushanikamata wazushi watafyata Unavyochezaga mama ma Raha napataga kwa sana na Unavyokataga mama Utamu nasikiaga kwa sana Unavyochezaga mama Nimekubali we ni noma Na mapaka shume wataisoma Watafurahi wakikuona baba na mama Nimekubali we ni noma Na mapaka shume wataisoma Maana kilometa akikuona Atafanya bonge la sherehe Unavyochezaga mama ma Raha napataga kwa sana na Unavyokataga mama Utamu nasikiaga kwa sana Unavyochezaga mama

Ibraah の他の曲

Ibraah →

関連歌詞