原文歌詞
SW翻訳はまだありません。原文を表示しています。
unaniaca unaenda tena
nabaki apa mimi peke yangu
watoto, watoto wanaliya
usiende...
kembo, kembo, kembo...
watoto wanaliya...wewe
"napashwa"
wandugu wanaliya...
ni wewe
"napashwa"
ata mama yako analiya
"napashwa"
mimi bibi yako naliya
usiende na sorrow
nitangoja...kembo.
"usiende na sorrow
tutangoja"
usiende na sorrow
tutangoja...kembo.
watoto wanaliya...hood !!!
"unapashwa"
wandugu wanaliya...hood !!!
"unapashwa"
ata mama yako analiya
"unapashwa"
mimi bibi yako naliya
usiende na sorrow
nitangoja...
kembo... kembo...kembo...