Koleza
SW

Koleza 歌詞

ジャンルPop
原文言語SW
閲覧数6
Aa表示設定
文字サイズ 18

原文歌詞

SW
翻訳はまだありません。原文を表示しています。
Wakiongea usijibu chochote we baki bubu Me komo yao na hawajui tu Na furaha imeeleta unaleta amani kwenye maisha yangu Povu liwatoke wakaroge nitabaki nawe Mpenzi koleza, baby koleza Hawatuoni wanamakengeza Kengeza Mpenzi koleza, baby koleza Hawatuoni wanamakengeza Kengeza Inabidi uniamini (aah eeh) Kukuacha kazi (kazi) Usiamini amini maneno ya watu (watu) Inabidi uniamini (aaah eeh) Kukuacha kazu (kazu) Usiamini amini maneno ya watu (watu) Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage Lelele! Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage Lelele! Maneno maneno wakikuambia Nambie eh Midomo midomo kazi Yake kuongea wapuuzie Nitauboresha, boresha Nitauboresha miee Mpenzi koleza, baby koleza Hawatuoni wanamakengeza Kengeza Mpenzi koleza, baby koleza Hawatuoni wanamakengeza Kengeza Inabidi uniamini (aah eeh) Kukuacha kazi (kazi) Usiamini amini maneno ya watu (watu) Inabidi uniamini (aah eeh) Kukuacha kazu (kazu) Usiamini amini maneno ya watu (watu) Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage Lelele! Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage Lelele! Inabidi uniamini (aah eeh) Kukuacha kazi (kazi) Usiamini amini maneno ya watu (watu) Inabidi uniamini (aah eeh) Kukuacha kazu (kazu) Usiamini amini maneno ya watu (watu) Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage Lelele! Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage Lelele!

Linah の他の曲

Linah →

関連歌詞