Limevuja
SW

Limevuja 歌詞

ジャンルPop
原文言語SW
閲覧数40
Aa表示設定
文字サイズ 18

原文歌詞

SW
翻訳はまだありません。原文を表示しています。
Oooh, oooh maya aah (Nusder) Si umesema mi baniani mbaya Na uwepo wangu kwako sio dawa, haya aah Penzi nikashona tenzi na riwaya Kwenye moyo wako livae liwe sawa, limepwaya Napuliza majivu maana moto siuoni Kooni maumivu vumbi larudi machoni Ahadi za mbivu zimebaki ndotoni Lile penzi tulivu leo lipo kikaangoni Imeniponza huruma kirungi Kujitisha kumsaidia Kumbe katoboa mtungi Maji yananimwagikia Penzi limevuja tena Penzi limevuja tena Penzi limevuja tena Penzi limevuja tena aah Ulisema sikiwambaza Penzi letu ukuta wa chuma Nikitoka kiwalaza Utanistiri nywele za nyuma Mara kwa mara ulilia Kifuani umenilalia Ukijuta unayachukia Yale ulopitia Eti kama mimi hujaona Wa kufanana naye Asa mbona hukusema Kama ushakutana naye Napuliza majivu maana moto siuoni Kooni maumivu vumbi larudi machoni Ahadi za mbivu zimebaki ndotoni Lile penzi tulivu leo lipo kikaangoni Imeniponza huruma kirungi Kujitisha kumsaidia Kumbe katoboa mtungi Maji yananimwagikia Penzi limevuja tena Penzi limevuja tena Penzi limevuja tena Penzi limevuja tena aah

Mbosso の他の曲

Mbosso →

関連歌詞