Kiburi
SW

Kiburi lyrics

GenreWorld Music
Original languageSW
Views3
AaReading settings
Text size 18

Original lyrics

SW
Translation not available yet. Showing the original lyrics.
Nakumbuka kesha nilizoenda Baba Nilikuomba Mungu teletele Nikikupa mahitaji yangu yaliyokuwa moyoni mwangu Karura pia nimetembea nakukupa shida zangu Baba Zote umetimiza wa leo Mbona moyo wangu umeguza wema wako Baba Uliyoniangazia kama sina kitu Sikua na kitu kabla nikujue Mbona sasa umenibariki kiburi changu Sikua na kitu kabla nikujue Mbona sasa umenibariki kiburi changu Sadaka ibada nikiwa sitoi Maswali yakaanza kujaa kichwani Eti mbona najisumbua na wewe Ikawa nimelegea kiimani Na kutafuta kwa kutorokea Dunia mkono wazi ukanipoteza Natafuta mashimoni nijifiche Lakini ukanifikia na kunirudisha Sasa nimejipata Na kuelewe hakuna kinacholinganishwa Na Wema Wako Baba yangu Sikua na kitu kabla nikujue Mbona sasa umenibariki kiburi changu Sikua na kitu kabla nikujue Mbona sasa umenibariki kiburi changu Sikua na kitu kabla nikujue Mbona sasa umenibariki kiburi changu Sikua na kitu kabla nikujue Mbona sasa umenibariki kiburi changu Sikua na kitu kabla nikujue Mbona sasa umenibariki kiburi changu Sikua na kitu kabla nikujue Mbona sasa umenibariki kiburi changu

More from Kaberere

Kaberere →

Related lyrics