Nilinde
SW

Nilinde lyrics

GenrePop
Original languageSW
Views5
AaReading settings
Text size 18

Original lyrics

SW
Translation not available yet. Showing the original lyrics.
Mmh mmh, ooh ooh Aiiehh eeh eeh (Gachi beats) Nawaza na sipati majibu Mbona haya ni majaribu Au Baba unanijaribu Maana mi sipati jawabu ila Labda langu ni dogo Kuna makubwa ya wengine Yaani kwa hiki kidogo Nisikufuru na mengine Mmh kuna muda mi nakataga tamaa Najiuliza lini nitasimama Mbona mimi ni wa kushika tama Mmh Si unajua maadui ni wengi Kuna muda mi nawazaga mengi Maana mambo yananoga Labda wananiroga Maana napiga zoga Hadi napata uoga Maana mambo yananoga Labda wananiroga Maana napiga zoga Hadi napata uoga Oooh Baba nilinde, Baba nilinde Niepushe nikinge, simama nilinde Basi Baba nilinde, Baba nilinde Niepushe nikinge, simama nilinde Mmh, mmh, mmh Ayee ayee ayeee Kuna muda nalia Nikifikiria naona hili ni dogo Maana kuna wasio na hatia Na wamepotea wangali wadogo Ila mimi napumua Na pumzi silipii sasa nitake nini? Ati nisipate matatizo milele Kwani mi ni nani? Si unajua maadui ni wengi Kuna muda mi nawazaga mengi Maana mambo yananoga Labda wananiroga Maana napiga zoga Hadi napata uoga Maana mambo yananoga Labda wananiroga Maana napiga zoga Hadi napata uoga Ooh Baba nilinde, Baba nilinde Niepushe nikinge, simama nilinde Basi Baba nilinde, Baba nilinde Niepushe nikinge, simama nilinde Baba nilinde, Baba nilinde Baba nilinde, Baba nilinde Baba nilinde, Baba nilinde Baba nilinde, Baba nilinde

More from Kusah

Kusah →

Related lyrics