Wauwe
SW

Wauwe lyrics

GenrePop
Original languageSW
Views5
AaReading settings
Text size 18

Original lyrics

SW
Translation not available yet. Showing the original lyrics.
Dengula nyonga msokoto Maana mimi nimekuja na bapa Masha luv wee lete watoto Wanyonyonga party za kukata Nyumbani mimi nimechoka Mavitu ya mama Nataka dhuluma dhuluma eeh Nipate ndogo ndogo baridi mwanana Kama kuna nyama choma fire Mapucho pucho Akikupa kwenye kona gwaya Nyuma kwa mbele, kulia, kushoto Wauwe, wauwe, wauwe, wauwe Maritili, ka dinner Na anataka piece kama wema Japo kitu kama mkono, mkono Ata kwenye giza ndo kudema Mama mama jishikilie Nabadilikia kilimani Ooh mama mama nitilie Kama tandoni na ukokoni Kama kuna nyama choma fire Mapucho pucho Akikupa kwenye kona gwaya Nyuma kwa mbele, kulia, kushoto Wauwe, wauwe, wauwe, wauwe Alkaida, na kama alkaida Alkaida, na kama alkaida Wauwe, wauwe, wauwe, wauwe

More from Marioo

Marioo →

Related lyrics