Katu Katu
SW

Katu Katu lyrics

GenrePop
Original languageSW
Views8
AaReading settings
Text size 18

Original lyrics

SW
Translation not available yet. Showing the original lyrics.
Baby yeeiyee Sama! Uuh, uuh Hitaji la moyo woo Nifanye nini kwako ili ntimize (Eh ehee, yeiyee, eh ehee) Kwa penzi la uchoyo Usijipe nafado nafsi ikupende (Eh ehee, oh babe, eh ehee) Kama umeishachoshwa nami nambie (eh, eh) Kuliko kunifanya mapenzi ni chukie (eh, eh) Nisipende mwingine mapenzi nijutie (eh, eh) Kuofia ya leo yasinirudie (eh, eh) Katu katu katu uuh Katu katu katu ee Katu katu katu Penzi linikatue Oh, baby penzi umelitia doa Na kama ni jasba sa we inabidi kukosoa Nashindwa roho kwahaya mateso Nikilalawi itakuwa kamchezo Ulidanganya kumbe hunipendi bwana Kama umeishachoshwa nami nambie (eh, eh) Kuliko kunifanya mapenzi ni chukie (eh, eh) Nisipende mwingine mapenzi nijutie (eh, eh) Kuofia ya leo yasinirudie (eh, eh) Sikuamini tena Katu katu katu uuh Katu katu katu ee Katu katu katu Penzi linikatue Kama umeishachoshwa nami nambie (eh, eh) Kuliko kunifanya mapenzi ni chukie (eh, eh) Nisipende mwingine mapenzi nijutie (eh, eh) Kuofia ya leo yasinirudie (eh, eh) Sikuamini tena Katu katu katu uuh Katu katu katu ee Katu katu katu Penzi linikatue

More from Maua Sama

Maua Sama →

Related lyrics