Yuda
SW

Yuda lyrics

GenrePop
Original languageSW
Views27
AaReading settings
Text size 18

Original lyrics

SW
Translation not available yet. Showing the original lyrics.
(Kimambo on the Beat) Nimemyosha wangu Yuda Vyake vitamu najipakulia Kungwi nimefundo Wake ma ex ndo wanaumia Walisema limevunda Sasa jikoni ndo linanukia Ye ndo wangu kiti Tena hachoki nikimkalia Na tena siku hizi nanenepa nanawiri Yamenoga mapenzi na yameshamiri Anipa vidogo na vikubwa tamu sio shubiri Nyumbani kumenoga huniponza mwili Ananilete chumbani, nikoleze wangu hunnie Tunacheza kibaba mama, kibaba mama Wakienda vitani sisi tuko nyumbani Aniteach inama inama, inama inama Naziwaume roho zao Naziwaume roho zao Naziwaume roho zao Naziwaume roho zao Kanipa sikio ananisikiliza Malumbano ndani hana Nimepitisha fagio na hawezi kuniliza Mashindano ndani hana Nimefundishwa na mama, kumlea bwana Akitakaga nyama, nampaga na tena Ananilete chumbani, nikoleze wangu hunnie Tunacheza kibaba mama, kibaba mama Wakienda vitani sisi tuko nyumbani Aniteach inama inama, inama inama Naziwaume roho zao Naziwaume roho zao Naziwaume roho zao Naziwaume roho zao

More from Nandy

Nandy →

Related lyrics