Wawili
SW

Wawili lyrics

GenreAfrobeats
Original languageSW
Views13
AaReading settings
Text size 18

Original lyrics

SW
Translation not available yet. Showing the original lyrics.
Oh Melanin Queen, yeah! La wawili La wawili La wawili Tam tam Ugali mwenzake mutindi Mmmh, masham sham Penzi umelijaza ndindi Njoo, come come Tucheze kuchi kama wahindi Mi nawee dam dam Hili game sindo washindi Una mapenzi kedekede Tufunge ndoa one day one day Hata sitaki delay delay Watanipora mabosi Una mapenzi kedekede Tufunge ndoa one day one day Hata sitaki delay delay Watanipora mashangingi Hili penzi la wawili (la wawili) La wawili (la wawili) Wewe na mimi (la wawili) Watatu wa nini Hili penzi la wawili tu (la wawili) La wawili (la wawili) Wewe na mimi (la wawili) Watatu wa nini Sifa ya jongoo kujikunja kunja Dawa ya khooo mkojo wa punda Wanasema halina ubani la kuvunda Mmmh, mi kwako taabani nakukunda Nilimwomba Mungu anipe wakufanana nae Akanipa wewee Wakwangu mwenyewe aiii Una mapenzi kedekede Tufunge ndoa one day one day Hata sitaki delay delay Watanipora mabosi Una mapenzi kedekede Tufunge ndoa one day one day Hata sitaki delay delay Watanipora mashangingi Hili penzi la wawili (la wawili) La wawili (la wawili) Wewe na mimi (la wawili) Watatu wa nini Hili penzi la wawili tu (la wawili) La wawili (la wawili) Wewe na mimi (la wawili) Watatu wa nini

More from Phina

Phina →

Related lyrics