Amina
SW

Текст песни Amina

ЖанрAfrobeats
Язык оригиналаSW
Просмотры33
AaНастройки чтения
Размер текста 18

Оригинальный текст

SW
Перевод пока недоступен. Показан оригинальный текст.
Kanee! Asante God Kwa kunipa bless Asante asante God kwa kunipa bread Ni kweli nilidondoka Lakini nashukuru uliniokota Minyororo ya wanga ya kusota Uliikata yote ukaniondosha Ukanivua shida ukanivisha cheo Ukasema mwanangu me ndo baba yako leo Ukanipa chakula cha jana na leo Ukasema nitakuwa na nipo hapa leo Ukanivua shida ukanivisha cheo Ukasema mwanangu me ndo baba yako leo Ukanipa chakula cha jana na leo Ukasema nitakuwa na nipo hapa leo Let me thank you now Amina eeh Amina (papa God ooh) Amina eeh Amina (papa God ooh) Amina eeh Amina (God ooh) Amina eeh Amina (let me thank you now) Amina eeh Amina (papa God ooh) Amina eeh Amina (papa God ooh) Amina eeh Amina (God ooh) Amina eeh Amina (let me thank you now) Mola Jalali wangu baba Nilie kosa ukanisamehe ukasahau Na hichi kibali chako baba Waniheshimu wote walionidharau Kuhangaika kwa jua Ilikuwa funzo baba (aah) Kukushukuru kwa dua Hata nikila ugali dagaa Asante Mungu yako turufu Niliomba maji ukuyawekea upupu Niliomba nyama hukunipa panya buku Kombolela ukazinga me nikabutua Ukanivua shida ukanivisha cheo Ukasema mwanangu me ndo baba yako leo Ukanipa chakula cha jana na leo Ukasema nitakuwa na nipo hapa leo Let me thank you now Amina eeh Amina (nah nah nah amina) Amina eeh Amina (baba baba baba) Amina eeh Amina (aah) Amina eeh Amina Amina eeh Amina (baba ooh) Amina eeh Amina (baba ooh) Amina eeh Amina (nashukuru kwa yote) Amina eeh Amina (kwa yote) Baba God ooh Baba God ooh God ooh Let me thank you now Baba God ooh Baba God ooh God ooh Let me thank you now

Ещё от Mabantu

Mabantu →

Похожие тексты