Ova
SW

Текст песни Ova

ЖанрPop
Язык оригиналаSW
Просмотры247
AaНастройки чтения
Размер текста 18

Оригинальный текст

SW
Перевод пока недоступен. Показан оригинальный текст.
Vishavu vimeanza kunona Kitambi ndo hichi sasa ona Nitazame, nanenepa nanenepa Nami nimempata chioma Ulijichanganya, na nilikupenda sana Walokudanganya, ndo walokuponza dear Kujitia mpana, mara kunitukana Kwakweli hapana, nikasema ova dear Ova ova Ova mi na wewe ova Ova imetosha ova Ova mi na wewe ova Ova nimesema ova Ulijichanganya, na nilikupenda sana Walokudanganya, ndo walokuponza dear Kujitia mpana, mara kuntukana Kwakweli hapana, nikasema ova dear Shilingi shilingi shilingi Shilingi yatutoa roho shilingi Shilingi yo ni mwanaharamu shilingi Shilingi ya ua mapenzi Ulijichanganya, na nilikupenda sana Walokudanganya, ndo walokuponza dear Kujitia mpana, mara kuntukana Kwakweli hapana, nikasema ova dear Ova mi na wewe ova Ova imetosha ova Ova mi na wewe ova Ova nimesema ova Ulijichanganya, na nilikupenda sana Walokudanganya, ndo walokuponza dear Kujitia mpana, mara kuntukana Kwakweli hapana, nikasema ova dear Ova ova

Ещё от Mbosso

Mbosso →

Похожие тексты