Ya Dunia
SW

Текст песни Ya Dunia

ЖанрWorld Music
Язык оригиналаSW
Просмотры3
AaНастройки чтения
Размер текста 18

Оригинальный текст

SW
Перевод пока недоступен. Показан оригинальный текст.
Hayeye! Nimesota, sina wera Juzi nilikopa nilipe mama mboga Hawajui, hawata amini Juu mi ni mwana mziki na mambo yangu iko fiti Na huko instagrama, wanadhani nimeosa Sababu waliona nikikula na Obama Wengi ni mastar kwa vile wanavyo vaa Lakini utashangaa, vile wanavyokaa Wengi hujifanya mambo yao yako sawa Lakini utashangaa, ni mengi haya ya dunia Hayeye! Chakula githeri chemsha na avocado Na nina deni ya soo mbili ya mama Wambo Sasa nasaka fare anagalau nifike show Lakini jana si nilikua kwa TV Na juzi pia nilikua kwa gazeti Mambo yangu yanafaa kua fiti Huko instagrama, wanadhani niko poa Sababu waliona, ile poster ya Koroga Wengi ni mastar kwa vile wanavyo vaa Lakini utashangaa, vile wanavyokaa Wengi hujifanya mambo yao yako sawa Lakini utashangaa, ni mengi haya ya dunia Sio yote yang’aayo ni dhahabu Watu huficha masaibu kwa tabasamu Basi sote tuwe wakarimu Sababu yote yang’aayo si dhahabu Wengi ni mastar kwa vile wanavyo vaa Lakini utashangaa, vile wanavyokaa Wengi hujifanya mambo yao yako sawa Lakini utashangaa, ni mengi haya ya dunia

Ещё от Serro

Serro →

Похожие тексты