Hawajui
SW

Текст песни Hawajui

ЖанрPop
Язык оригиналаSW
Просмотры4
AaНастройки чтения
Размер текста 18

Оригинальный текст

SW
Перевод пока недоступен. Показан оригинальный текст.
Nahreel wussup wussup wussup wussup Hamjui tu nyie Alichonifunza mama Na, na ndiyo maana Hamuishi kutukana Kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga Nini tilalila usiku mchana unabwabwaja Kwako mi mpira unanicheza unavyotaka Kila siku beki leo kipa nimekudaka We mwanadamu gani uliyekosa aibu Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu Huishi, zogoa zogoa Kila siku zogoa zogoa Ukilala zogoa zogoa Hamjui tu nyie Alichonifunza mama Na, na ndiyo maana Hamuishi kutukana Choko choko ndiyo mambo mliozoea Kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah, ah Eti naringa, nikishinda mnavimba Hamuishi kuniwinda Mungu ndiyo ananilinda We mwanadamu gani uliyekosa aibu Kunisema kwa ubaya Na ukiapa kwa Mungu Huishi, zogoa zogoa Kila siku zogoa zogoa Ukilala zogoa zogoa Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na, na ndiyo maana Hamuishi kutukana We mwanadamu gani uliyekosa aibu Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu Huishi, zogoa zogoa Kila siku zogoa zogoa Ukilala zogoa zogoa Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na, na ndiyo maana Hamuishi kutukana

Ещё от Vanessa Mdee

Vanessa Mdee →

Похожие тексты