Alele
SW

Alele lyrics

GenreAfrobeats
Original languageSW
Views6
AaReading settings
Text size 18

Original lyrics

SW
Translation not available yet. Showing the original lyrics.
Its Bob Manecky Heeh yeaah Nikisema nitakufa kisa mapenzi Moyoni nitamkosea Wanayadhani nina ufa hakuna mwenzangu Nyumba inamdondokea Mi najua Sina dhamani kwako utanikumbuka Nishatenda wema Mi nakwenda zangu utanikumbuka Poleza na moyo we, mwaya we Najua amekuumiza Ila yupo mungu, baba eh Najua atalipiza Pole sana moyo, mwaya Najua amekuumiza Ila yupo mungu, baba Najua atalipiza Alele, nishalia Alele, nikaumia Alele, sina dhamani kwako Alele, mtima ulilia Alele, maana wengine wapo Alele, nishalia Alele, nikaumia Alele, sina dhamani kwako Alele, mtima ulilia Alele, maana wengine wapo Kwa mitaa jamaa anaandamana Kweli mapenzi yanaliliwaa Niliachaga drama na ujana Eey yeaaah Yalianzaga enzi Ikanenaga na nafsi acha nivumilie Jamani mapenzi Yamekuwa hadithi acha nisimulie Poleza na moyo we, mwaya we Najua amekuumiza Ila yupo mungu, baba eh Najua atalipiza Pole sana moyo, mwaya Najua amekuumiza Ila yupo mungu, baba Najua atalipiza Alele, nishalia Alele, nikaumia Alele, sina dhamani kwako Alele, mtima ulilia Alele, maana wengine wapo Alele, nishalia Alele, nikaumia Alele, sina dhamani kwako Alele, mtima ulilia Alele, maana wengine wapo

More from Ruby Tanzania

Ruby Tanzania →

Related lyrics