Wawili
SW

Wawili şarkı sözleri

TürAfrobeats
Orijinal dilSW
Görüntülenme13
AaOkuma ayarları
Metin boyutu 18

Orijinal sözler

SW
Translation not available yet. Showing the original lyrics.
Oh Melanin Queen, yeah! La wawili La wawili La wawili Tam tam Ugali mwenzake mutindi Mmmh, masham sham Penzi umelijaza ndindi Njoo, come come Tucheze kuchi kama wahindi Mi nawee dam dam Hili game sindo washindi Una mapenzi kedekede Tufunge ndoa one day one day Hata sitaki delay delay Watanipora mabosi Una mapenzi kedekede Tufunge ndoa one day one day Hata sitaki delay delay Watanipora mashangingi Hili penzi la wawili (la wawili) La wawili (la wawili) Wewe na mimi (la wawili) Watatu wa nini Hili penzi la wawili tu (la wawili) La wawili (la wawili) Wewe na mimi (la wawili) Watatu wa nini Sifa ya jongoo kujikunja kunja Dawa ya khooo mkojo wa punda Wanasema halina ubani la kuvunda Mmmh, mi kwako taabani nakukunda Nilimwomba Mungu anipe wakufanana nae Akanipa wewee Wakwangu mwenyewe aiii Una mapenzi kedekede Tufunge ndoa one day one day Hata sitaki delay delay Watanipora mabosi Una mapenzi kedekede Tufunge ndoa one day one day Hata sitaki delay delay Watanipora mashangingi Hili penzi la wawili (la wawili) La wawili (la wawili) Wewe na mimi (la wawili) Watatu wa nini Hili penzi la wawili tu (la wawili) La wawili (la wawili) Wewe na mimi (la wawili) Watatu wa nini

Phina sanatçısından daha fazla

Phina →

İlgili şarkı sözleri