Amina
SW

Amina 歌词

流派Afrobeats
原文语言SW
浏览量33
Aa阅读设置
文字大小 18

原文歌词

SW
暂时没有翻译,当前显示原文歌词。
Kanee! Asante God Kwa kunipa bless Asante asante God kwa kunipa bread Ni kweli nilidondoka Lakini nashukuru uliniokota Minyororo ya wanga ya kusota Uliikata yote ukaniondosha Ukanivua shida ukanivisha cheo Ukasema mwanangu me ndo baba yako leo Ukanipa chakula cha jana na leo Ukasema nitakuwa na nipo hapa leo Ukanivua shida ukanivisha cheo Ukasema mwanangu me ndo baba yako leo Ukanipa chakula cha jana na leo Ukasema nitakuwa na nipo hapa leo Let me thank you now Amina eeh Amina (papa God ooh) Amina eeh Amina (papa God ooh) Amina eeh Amina (God ooh) Amina eeh Amina (let me thank you now) Amina eeh Amina (papa God ooh) Amina eeh Amina (papa God ooh) Amina eeh Amina (God ooh) Amina eeh Amina (let me thank you now) Mola Jalali wangu baba Nilie kosa ukanisamehe ukasahau Na hichi kibali chako baba Waniheshimu wote walionidharau Kuhangaika kwa jua Ilikuwa funzo baba (aah) Kukushukuru kwa dua Hata nikila ugali dagaa Asante Mungu yako turufu Niliomba maji ukuyawekea upupu Niliomba nyama hukunipa panya buku Kombolela ukazinga me nikabutua Ukanivua shida ukanivisha cheo Ukasema mwanangu me ndo baba yako leo Ukanipa chakula cha jana na leo Ukasema nitakuwa na nipo hapa leo Let me thank you now Amina eeh Amina (nah nah nah amina) Amina eeh Amina (baba baba baba) Amina eeh Amina (aah) Amina eeh Amina Amina eeh Amina (baba ooh) Amina eeh Amina (baba ooh) Amina eeh Amina (nashukuru kwa yote) Amina eeh Amina (kwa yote) Baba God ooh Baba God ooh God ooh Let me thank you now Baba God ooh Baba God ooh God ooh Let me thank you now

更多 Mabantu

Mabantu →

相关歌词