Kwaru
SW

Kwaru lyrics

GenrePop
Original languageSW
Views27
AaReading settings
Text size 18

Original lyrics

SW
Translation not available yet. Showing the original lyrics.
Iyoo lizer Aah ah aah Ah Roho ingekua na macho ungejionea Moyo haufanyi kificho ukigotea Mimi kipi nisonacho ungeongea Mwili wangu rochorocho nanyong’onyea Chungu nilichopika Wamepakua wenzangu Huruma napukutishwa Wamechukua tonge langu Na kitabu chetu cha mapenzi Kurasa umeichanachana Hazisomeki tena tenzi Zimepoteza maana Mpofu moyo wangu Ulishindwa ona Hukuandikwa wakwangu Limenikaba nalitema Kwaru kwakwaru kwaru Kachukua kisoda Ana ukwangua Kwaru kwakwaru kwaru Moyo wangu unaumia Kwaru kwakwaru kwaru Ah! Ye kwa nguvu Ana ukwarua Kwaru kwakwaru kwaru Jamani moyo wangu Unaumia Eh Langu tatizo Nachunda najimaliza Mi nakesha kumuwaza Naweweseka lake jina (ooh jina) Oh! Basi kwa unyonge Najikaza niache kulia Mana kwake bahati sina (ooh sina) Maumivu ameipora furaha yangu Ooh amekwenda nayo Na zangu mbivu zimeniozea Mmh hasara kwangu Ooh oh! Yatajwisha nayoo Mpofu moyo wangu Ulishindwa ona Hukuandikwa wakwangu Limenikaba nalitema Kwaru kwakwaru kwaru Kachukua kisoda Ana ukwangua Kwaru kwakwaru kwaru Moyo wangu unaumia Kwaru kwakwaru kwaru Ah! Ye kwa nguvu Ana ukwarua Kwaru kwakwaru kwaru Jamani moyo wangu Unaumia

More from Zuchu

Zuchu →

Related lyrics