Sitaki Tena
SW

Letra de Sitaki Tena

GéneroAfrobeats
Idioma originalSW
Vistas8
AaLectura
Tamaño 18

Letra original

SW
La traducción todavía no está disponible. Mostramos la letra original.
Nitachowaambia msiache kumwambia na yeye Simchukii na, na najipa mweyewe oh, no oh, baby sijutiii kuwa mbali naye apunguze presha Mwambieni sililii, penzi lake nilishalihimisha Hazijabaki memory wala kumbukumbu Nilishamsahau mazima Hata nikimwona namwona ka nungu nungu Sio kama namvunjia heshima Makombe amalize ajifushe na nyungu Akakoge na maji ya kisima Ila mimi nilisha apa kwa mwenyezi Mungu Haitojirudia daima Sitaki tena, tena mwambieni asinisumbue mimi Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu Sitaki tena, abaki na zake nibaki na zangu Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu Dua zake mbaya kwangu nifeli nilipo sasa anajua Najua likiwa ka kiza kikitanda ananiwaza ananijua Mwambieni asihangaike na mipasho moyo wake mimi naujua Sitaki kumdhalilisha nikataja na siri zake nikaamuumbua Hazijabaki memory wala kumbukumbu Nilishamsahau mazima Hata nikimwona namwona ka nungu nungu Sio kama namvunjia heshima Makombe amalize ajifushe na nyungu Akakoge na maji ya kisima Ila mimi nilisha apa kwa mwenyezi Mungu Haitojirudia daima Sitaki tena, tena mwambieni asinisumbue mimi Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu Sitaki tena, abaki na zake nibaki na zangu Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu Mwambieni sijutiii kuwa mbali naye apunguze presha Mwambieni sililii, penzi lake nilishalihimisha

Más de Phina

Phina →

Letras relacionadas