Wawili
SW

Letra de Wawili

GéneroAfrobeats
Idioma originalSW
Vistas13
AaLectura
Tamaño 18

Letra original

SW
La traducción todavía no está disponible. Mostramos la letra original.
Oh Melanin Queen, yeah! La wawili La wawili La wawili Tam tam Ugali mwenzake mutindi Mmmh, masham sham Penzi umelijaza ndindi Njoo, come come Tucheze kuchi kama wahindi Mi nawee dam dam Hili game sindo washindi Una mapenzi kedekede Tufunge ndoa one day one day Hata sitaki delay delay Watanipora mabosi Una mapenzi kedekede Tufunge ndoa one day one day Hata sitaki delay delay Watanipora mashangingi Hili penzi la wawili (la wawili) La wawili (la wawili) Wewe na mimi (la wawili) Watatu wa nini Hili penzi la wawili tu (la wawili) La wawili (la wawili) Wewe na mimi (la wawili) Watatu wa nini Sifa ya jongoo kujikunja kunja Dawa ya khooo mkojo wa punda Wanasema halina ubani la kuvunda Mmmh, mi kwako taabani nakukunda Nilimwomba Mungu anipe wakufanana nae Akanipa wewee Wakwangu mwenyewe aiii Una mapenzi kedekede Tufunge ndoa one day one day Hata sitaki delay delay Watanipora mabosi Una mapenzi kedekede Tufunge ndoa one day one day Hata sitaki delay delay Watanipora mashangingi Hili penzi la wawili (la wawili) La wawili (la wawili) Wewe na mimi (la wawili) Watatu wa nini Hili penzi la wawili tu (la wawili) La wawili (la wawili) Wewe na mimi (la wawili) Watatu wa nini

Más de Phina

Phina →

Letras relacionadas