Hawajui
SW

Hawajui 歌詞

ジャンルPop
原文言語SW
閲覧数4
Aa表示設定
文字サイズ 18

原文歌詞

SW
翻訳はまだありません。原文を表示しています。
Nahreel wussup wussup wussup wussup Hamjui tu nyie Alichonifunza mama Na, na ndiyo maana Hamuishi kutukana Kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga Nini tilalila usiku mchana unabwabwaja Kwako mi mpira unanicheza unavyotaka Kila siku beki leo kipa nimekudaka We mwanadamu gani uliyekosa aibu Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu Huishi, zogoa zogoa Kila siku zogoa zogoa Ukilala zogoa zogoa Hamjui tu nyie Alichonifunza mama Na, na ndiyo maana Hamuishi kutukana Choko choko ndiyo mambo mliozoea Kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah, ah Eti naringa, nikishinda mnavimba Hamuishi kuniwinda Mungu ndiyo ananilinda We mwanadamu gani uliyekosa aibu Kunisema kwa ubaya Na ukiapa kwa Mungu Huishi, zogoa zogoa Kila siku zogoa zogoa Ukilala zogoa zogoa Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na, na ndiyo maana Hamuishi kutukana We mwanadamu gani uliyekosa aibu Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu Huishi, zogoa zogoa Kila siku zogoa zogoa Ukilala zogoa zogoa Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na, na ndiyo maana Hamuishi kutukana

Vanessa Mdee の他の曲

Vanessa Mdee →

関連歌詞