Sawa
SW

Sawa lyrics

GenrePop
Original languageSW
Views1.7K
AaReading settings
Text size 18

Original lyrics

SW
Translation not available yet. Showing the original lyrics.
Mapenzi tu Nimepagawa hamjui Ye kila mara ananifanya silali Namwaza yeye tu Anayeweka roho yangu juu Ana utoto tu Sema uzuri ananipaga asali Mi nailamba tu   Na penzi letu ni kama sunna Na ulinzi kama suma Hata akinuna Bado unapendeza mchumba Mkimuona ananichuna Msinionee huruma Cha mtu huliwa na mtu Kutu yake chuma   Basi mwambieni nampenda Sawa, sawa, sawa Ah mwambie mi nampenda Yes (sawa), right (sawa), sawa   Huo utamu hasa nikiingia Akifungua gate naingia Akipanua neti naingia Na wala sikwepeshi naingia Sina akili ya kuchange idea Hapo hapo nimemng’ang’ania Hapo hapo nimeshikilia Na visokorokwinyo mtaumia, naahaa   Kwa hakika haya mapenzi Kusema kweli, yataniua Kwa hakika haya mapenzi Kusema kweli, yataniua   Na penzi letu ni kama sunna Na ulinzi kama suma Hata akinuna Bado unapendeza mchumba Mkimuona ananichuna Msinionee huruma Cha mtu huliwa na mtu Kutu yake chuma   Basi mwambieni nampenda Sawa, sawa, sawa Ah mwambie mi nampenda Yes (sawa), right (sawa), sawa

More from Jay Melody

Jay Melody →

Related lyrics