Nilegeze
SW

Nilegeze 歌词

流派Afrobeats
原文语言SW
浏览量5
Aa阅读设置
文字大小 18

原文歌词

SW
暂时没有翻译,当前显示原文歌词。
Matamu ulonipa jana Yanazidi hamu mpaka zinasimama Usinipe nusu Me kwako mzima mzima, jiliwazee Ndotoni unanijia Huoni nalewa me nalia Ikifika inanata, swadakta Ukiniacha nitachakaa Haya nile Nilegeze nile, wewe sawa nile Nilegeze nile, mwenyewe haya nile Nilegeze nile, wewe sawa nile Nilegeze nile, mwenyewe Kama kamari Wamelamba kisuturu fu kopa Migandisho hatari Naleta utukutu hadi kwenye sofa Mimi nisemeje Mteja kwako nabembea Naweka na ukuta, weka nukta Mpaka futa ishike uta Ndotoni unanijia Huoni nalewa me nalia Ikifika inanata, swadakta Ukiniacha nitachakaa Haya nile Nilegeze nile, wewe sawa nile Nilegeze nile, mwenyewe haya nile Nilegeze nile, wewe sawa nile Nilegeze nile, mwenyewe Nalegea (ooh beiby) Nalegea (ukinishika shika) Nalegea (dembe dembe mwenzako) Nalegea (ooh wako utamu)

更多 Lulu Diva

Lulu Diva →

相关歌词